Yakobo 4:12
Yakobo 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?
Shirikisha
Soma Yakobo 4Yakobo 4:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtoa sheria na mwenye kuhukumu ni mmoja tu, ndiye awezaye kuokoa na kuangamiza. U nani wewe umhukumuye mtu mwingine?
Shirikisha
Soma Yakobo 4