Yakobo 4:11
Yakobo 4:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndugu, msilaumiane nyinyi kwa nyinyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu sheria. Kama ukiihukumu sheria, basi, wewe huitii sheria, bali waihukumu.
Shirikisha
Soma Yakobo 4Yakobo 4:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndugu, msisingiziane; amsingiziaye ndugu yake, au kumhukumu ndugu yake, huisingizia sheria na kuihukumu sheria. Lakini ukiihukumu sheria, huwi mtenda sheria, bali umekuwa hakimu.
Shirikisha
Soma Yakobo 4