Waebrania 4:4
Waebrania 4:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Maandiko yasema mahali fulani kuhusu siku ya saba: “Mungu alipumzika siku ya saba, akaacha kazi zake zote.”
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa maana ameinena siku ya saba mahali fulani hivi, Mungu alistarehe siku ya saba, akaziacha kazi zake zote
Shirikisha
Soma Waebrania 4