Waebrania 4:15 - Compare All Versions
Waebrania 4:15 BHN (Biblia Habari Njema)
Huyu Kuhani Mkuu wetu anaelewa kabisa unyonge wetu; yeye mwenyewe alijaribiwa kama sisi kwa kila namna lakini hakutenda dhambi.
Shirikisha
Waebrania 4 BHNWaebrania 4:15 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa kama sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.
Shirikisha
Waebrania 4 SRUVWaebrania 4:15 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi.
Shirikisha
Waebrania 4 SUVWaebrania 4:15 NEN (Neno)
Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.
Shirikisha
Waebrania 4 NEN