Waebrania 11:10 - Compare All Versions
Waebrania 11:10 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana Abrahamu alikuwa akingojea mji wenye misingi imara, mji ambao Mungu mwenyewe ndiye fundi aliyeubuni na kuujenga.
Shirikisha
Waebrania 11 BHNWaebrania 11:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi, ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Shirikisha
Waebrania 11 SRUVWaebrania 11:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi, ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Shirikisha
Waebrania 11 SUVWaebrania 11:10 NEN (Neno)
Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu, ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.
Shirikisha
Waebrania 11 NEN