Waebrania 1:5 - Compare All Versions
Waebrania 1:5 BHN (Biblia Habari Njema)
Maana Mungu hakumwambia kamwe hata mmoja wa malaika wake: “Wewe ni Mwanangu; mimi leo nimekuwa Baba yako.” Wala hakusema juu ya malaika yeyote: “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu.”
Shirikisha
Waebrania 1 BHNWaebrania 1:5 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Kwa maana alimwambia malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?
Shirikisha
Waebrania 1 SUVWaebrania 1:5 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Kwa maana ni kwa malaika yeyote yupi Mungu, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?
Shirikisha
Waebrania 1 SRUVWaebrania 1:5 NEN (Neno)
Kwa maana ni kwa malaika yupi Mungu aliwahi kusema, “Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuwa Baba yako”? Au tena, “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu”?
Shirikisha
Waebrania 1 NEN