Wagalatia 3:8
Wagalatia 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Maandiko Matakatifu yalionesha kabla kwamba Mungu atawafanya watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: “Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa.”
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na andiko, kwa vile lilivyoona tangu zamani kwamba Mungu atawahesabia haki Mataifa kwa imani, lilimhubiria Abrahamu Habari Njema zamani, kusema, Katika wewe Mataifa yote watabarikiwa.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3