Wagalatia 3:7,12
Wagalatia 3:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Sasa basi, jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na sheria ataishi.”
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Abrahamu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:7 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Gal 3:12 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Na torati haikuja kwa imani, bali, Ayatendaye hayo ataishi katika hayo.
Shirikisha
Soma Wagalatia 3