Wagalatia 3:13
Wagalatia 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
Shirikisha
Soma Wagalatia 3Wagalatia 3:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti
Shirikisha
Soma Wagalatia 3