Matendo 27:35-36 - Compare All Versions
Matendo 27:35-36 BHN (Biblia Habari Njema)
Baada ya kusema hivyo, Paulo alichukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega, akaanza kula. Hapo wote wakapata moyo, nao pia wakala chakula.
Shirikisha
Matendo 27 BHNMatendo 27:35-36 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Alipokwisha kusema hayo akatwaa mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote akaumega akaanza kula. Ndipo wakachangamka wote, wakala chakula wenyewe.
Shirikisha
Matendo 27 SRUVMatendo 27:35-36 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Alipokwisha kusema hayo akatwaa mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote akaumega akaanza kula. Ndipo wakachangamka wote, wakala chakula wenyewe.
Shirikisha
Matendo 27 SUVMatendo 27:35-36 NEN (Neno)
Baada ya kusema maneno haya, Paulo akachukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega akaanza kula. Ndipo wote wakatiwa moyo, wakaanza kula chakula.
Shirikisha
Matendo 27 NEN