Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 27:35-36

Matendo 27:35-36 NEN

Baada ya kusema maneno haya, Paulo akachukua mkate, akamshukuru Mungu mbele yao wote, akaumega akaanza kula. Ndipo wote wakatiwa moyo, wakaanza kula chakula.

Video ya Matendo 27:35-36