2 Timotheo 2:1-2
2 Timotheo 2:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, wewe mwanangu, uwe na nguvu katika neema tunayopata katika kuungana na Kristo Yesu. Chukua yale mafundisho uliyonisikia nikitangaza mbele ya mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu wanaoaminika, ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 22 Timotheo 2:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu. Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha wengine vile vile.
Shirikisha
Soma 2 Timotheo 2