2 Wathesalonike 2:14
2 Wathesalonike 2:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 22 Wathesalonike 2:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
aliyowaitia ninyi kwa Injili yetu, ili kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 2