2 Wathesalonike 2:12
2 Wathesalonike 2:12 Biblia Habari Njema (BHN)
Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, bali wanafurahia dhambi, watahukumiwa.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 22 Wathesalonike 2:12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli, bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu.
Shirikisha
Soma 2 Wathesalonike 2