2 Wakorintho 4:18
2 Wakorintho 4:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 42 Wakorintho 4:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 42 Wakorintho 4:18 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 4