2 Wakorintho 4:13
2 Wakorintho 4:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Maandiko Matakatifu yasema: “Niliamini, ndiyo maana nilinena.” Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 42 Wakorintho 4:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani; kama ilivyoandikwa, Niliamini, na kwa sababu hiyo nilinena; sisi nasi twaamini, na kwa sababu hiyo twanena
Shirikisha
Soma 2 Wakorintho 4