2 Mambo ya Nyakati 7:14
2 Mambo ya Nyakati 7:14 Biblia Habari Njema (BHN)
kama watu hao wangu wakijinyenyekesha, wakasali, wakanitafuta na kuacha njia zao mbaya, basi, mimi nitawasikiliza kutoka juu mbinguni; nitawasamehe dhambi yao na kuistawisha nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 72 Mambo ya Nyakati 7:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 72 Mambo ya Nyakati 7:14 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao.
Shirikisha
Soma 2 Mambo ya Nyakati 7