1 Samueli 17:45 - Compare All Versions
1 Samueli 17:45 BHN (Biblia Habari Njema)
Lakini Daudi akamwambia Goliathi, “Wewe unanijia kwa upanga, mkuki na sime. Lakini mimi ninakujia kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa askari wa Israeli, ambaye wewe umemtukana.
Shirikisha
1 Samueli 17 BHN1 Samueli 17:45 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.
Shirikisha
1 Samueli 17 SRUV1 Samueli 17:45 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.
Shirikisha
1 Samueli 17 SUV1 Samueli 17:45 NEN (Neno)
Daudi akamwambia yule Mfilisti. “Wewe unanijia na upanga, mkuki na fumo, lakini mimi ninakujia kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli, ambaye wewe umemtukana.
Shirikisha
1 Samueli 17 NEN