Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samueli 10:22 - Compare All Versions

1 Samueli 10:22 BHN (Biblia Habari Njema)

Wakamwuliza Mungu tena, “Je, kuna mtu zaidi anayekuja?” Mwenyezi-Mungu akawajibu, “Anajificha kwenye mizigo.”

1 Samueli 10:22 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Basi wakazidi kumwuliza BWANA, Amebaki mtu asiyekuja huku bado? Naye BWANA akajibu, Tazama, amejificha penye mizigo.

1 Samueli 10:22 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Basi wakazidi kumwuliza BWANA, Amebaki mtu asiyekuja huku bado? Naye BWANA akajibu, Tazama, amejificha kwenye mizigo.

1 Samueli 10:22 NEN (Neno)

Wakazidi kuuliza kwa BWANA, “Je, huyo mtu amekwisha kufika hapa?” Naye BWANA akasema, “Ndiyo, amejificha kwenye mizigo.”