Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 8:4

Mathayo 8:4 BHN

Kisha Yesu akamwambia, “Angalia, usimwambie mtu yeyote, ila nenda ukajioneshe kwa kuhani, na kutoa sadaka iliyoamriwa na Mose kuwathibitishia kwamba umepona.”