Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 10:17-18

Zaburi 10:17-18 BHN

Ee Mwenyezi-Mungu, wapokea dua za mnyonge; wampa moyo na kumtegea sikio. Utawatendea haki yatima na wanaodhulumiwa, binadamu aliye udongo asiweze tena kuleta hofu.

Soma Zaburi 10