Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 26:1-2

Methali 26:1-2 BHN

Heshima apewayo mpumbavu haimfai; ni kama theluji ya kiangazi, au mvua ya wakati wa mavuno. Kama shomoro au mbayuwayu wasiotua, kadhalika laana asiyostahili mtu haimtui.

Soma Methali 26