Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 24:23-25

Methali 24:23-25 BHN

Ifuatayo pia ni misemo ya wenye hekima: Kupendelea watu katika hukumu si vizuri. Anayemwachilia mtu mwenye hatia, hulaaniwa na watu na kuchukiwa na mataifa. Lakini wanaowaadhibu waovu watapata furaha, na baraka njema zitawajia.

Soma Methali 24