Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 24:19-20

Methali 24:19-20 BHN

Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, wala usiwaonee wivu watu waovu, maana mwovu hatakuwa na mema baadaye; taa ya uhai wake itazimwa.

Soma Methali 24