Mithali 24:19-20
Mithali 24:19-20 NENO
Usikasirike kwa sababu ya wapotovu, wala usiwaonee wivu waovu, kwa maana mpotovu hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.
Usikasirike kwa sababu ya wapotovu, wala usiwaonee wivu waovu, kwa maana mpotovu hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.