Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 20:8-10

Methali 20:8-10 BHN

Mfalme mwema aketipo kutoa hukumu, huupepeta uovu wote kwa macho yake. Nani athubutuye kusema: “Nimeutakasa moyo wangu; mimi nimetakasika dhambi yangu?” Mizani ya udanganyifu na vipimo vya udanganyifu, vyote ni chukizo kwa Mwenyezi-Mungu.

Soma Methali 20