Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 20:24-25

Methali 20:24-25 BHN

Hatua za mtu huongozwa na Mwenyezi-Mungu; awezaje binadamu kujua njia ya kwenda? Ni hatari kusema kwa mzaha “Usiahidi kumpa Mungu kitu bila kufikiri, la sivyo utaanza kusikitika baada ya nadhiri yako.”

Soma Methali 20