Methali 12:23-24
Methali 12:23-24 BHN
Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao. Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.
Mwenye busara huficha maarifa yake, lakini wapumbavu hutangaza upumbavu wao. Kuwa na bidii kutampa mtu cheo, lakini uvivu utamfanya mtumwa.