Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 3:14-15

Wafilipi 3:14-15 BHN

Basi, nimo mbioni kuelekea lengo langu, ili nipate lile tuzo, ambalo ni mwito wa Mungu kwa maisha ya juu kwa njia ya Kristo Yesu. Sisi sote tuliokomaa tunapaswa kuwa na msimamo huohuo. Lakini kama baadhi yenu wanafikiri vingine, basi, Mungu atawadhihirishieni jambo hilo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wafilipi 3:14-15