Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 22:1-3

Mathayo 22:1-3 BHN

Yesu alisema nao tena kwa kutumia mifano: “Ufalme wa mbinguni umefanana na mfalme aliyemwandalia mwanawe karamu ya harusi. Basi, akawatuma watumishi kuwaita walioalikwa waje harusini, lakini walioalikwa hawakutaka kufika.