Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:44

Mathayo 13:44 BHN

“Ufalme wa mbinguni unafanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.