Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoeli 3:1-2

Yoeli 3:1-2 BHN

“Wakati huo na siku hizo nitakapoirekebisha hali ya Yuda na Yerusalemu, nitayakusanya mataifa yote, niyapeleke katika bonde liitwalo, ‘Mwenyezi-Mungu Ahukumu. Huko nitayahukumu mataifa hayo, kwa mambo yaliyowatendea watu wangu Israeli, hao walio mali yangu mimi mwenyewe. Maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa, waligawa nchi yangu

Soma Yoeli 3