Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yobu 34:10-11

Yobu 34:10-11 BHN

“Kwa hiyo nisikilizeni, enyi wenye ujuzi. Mungu kamwe hawezi kufanya uovu; Mungu Mwenye Nguvu hawezi kufanya kosa. Mungu atamlipa mtu kadiri ya matendo yake, atamlipiza kulingana na mwenendo wake.

Soma Yobu 34