Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 51:17-18

Yeremia 51:17-18 BHN

Kila mtu ni mpumbavu bila maarifa, kila mhunzi anaaibishwa na vinyago vyake; maana sanamu zake ni udanganyifu mtupu, wala hazina pumzi ndani yake. Hazina thamani, ni udanganyifu mtupu; wakati watakapoadhibiwa, nazo zitaangamia.

Soma Yeremia 51