Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 42:3-4

Isaya 42:3-4 BHN

Mwanzi uliochubuka hatauvunja, utambi ufukao moshi hatauzima; ataleta haki kwa uaminifu. Yeye hatafifia wala kufa moyo, hata atakapoimarisha haki duniani. Watu wa mbali wanangojea mwongozo wake.”

Soma Isaya 42