Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Isaya 40:2

Isaya 40:2 BHN

Semeni na wenyeji wa Yerusalemu kwa upole, waambieni kwamba utumwa wao umekwisha, wamesamehewa uovu wao. Mwenyezi-Mungu amewaadhibu maradufu kwa sababu ya dhambi zao zote.”

Soma Isaya 40