Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hosea 6:2-3

Hosea 6:2-3 BHN

Baada ya siku mbili, atatupa uhai tena, naam, siku ya tatu atatufufua ili tuweze kuishi pamoja naye. Basi tumtambue, tujitahidi kumjua Mwenyezi-Mungu. Kuja kwake ni hakika kama alfajiri, yeye atatujia kama manyunyu, kama mvua za masika ziinyweshayo ardhi.’”

Soma Hosea 6