Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hosea 6:2-3

Hosea 6:2-3 SRUV

Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, nasi tutaishi mbele zake. Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.

Soma Hosea 6