Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 4:4-6

Waefeso 4:4-6 BHN

Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile tumaini mliloitiwa na Mungu ni moja. Kuna Bwana mmoja, imani moja na ubatizo mmoja; kuna Mungu mmoja na Baba wa wote, ambaye yuko juu ya wote, afanya kazi katika yote na yuko katika yote.