Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 33:1-2

Kumbukumbu la Sheria 33:1-2 BHN

Hii ndiyo baraka ambayo Mose, mtu wa Mungu aliwatakia Waisraeli kabla ya kufariki kwake. Alisema: Mwenyezi-Mungu alikuja kutoka mlima Sinai, alitutokea kutoka mlima Seiri; aliiangaza kutoka mlima Parani. Alitokea kati ya maelfu ya malaika, na moto uwakao katika mkono wake wa kulia.