Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 19:19

1 Wafalme 19:19 BHN

Elia akaondoka, akamkuta Elisha, mwana wa Shafati, analima. Hapo, palikuwa na jozi kumi na mbili za ng'ombe wanalima, na jozi ya Elisha ilikuwa ya nyuma kabisa. Basi, Elia akavua joho lake na kumtupia.