እል ታሞጋን ዱባማኖ እንኮ ኦአጋልሳታን ኦተ ላኖ ጎቱሴን፥ ሂካኒ ኣቦክ ካባጃማራ።
Soma ያንሳ 15
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: ያንሳ 15:8
3 Siku
Introduction What does it actually mean to abide? Meno (μένω) — the Greek word translated “abide” or “remain” in John 15:1–10 — simply means to stay. To hold your ground in a relationship. To not leave. Jesus uses the image of a branch remaining connected to a vine: apart from that connection, the branch cannot produce fruit. Jesus is inviting us to stay connected — and to be aligned with what He is doing in each season. Let's see how Martha of Bethany learns to abide. You are welcome to read the full article here: https://zitabm1.substack.com
Siku 5
Katika kifungu hiki, kwanza, Kristo anatuwezesha kuelewa maana ya kubaki ndani yake. Pili, Kristo anatuwezesha kuelewa taratibu zinazochangia kuimarisha kubaki au kukaa ndani yake. Tatu, Kristo, anafafanua alama tatu zinazotutambulisha kama tupo ndani yake.
Siku 7
Kuna nguvu ya kipekee, nguvu inayofufusha ndani yako. Mwinjilisti Reinhard Bonnke amekutolea maandishi ya nguvu kuhusu Roho Mtakatifu na Kanuni za Nguvu zake Roho Mtakatifu. Funzo hili la siku saba litapinga mawazo au fikra zako kuhusu Roho Mtakatifu na
12 Siku
Moja ya maswali ya kawaida kwa watu ambao ni wapya katika kumfuata Yesu ni, “Nifanye nini sasa?” Ina maana gani kumpenda, kumtii, na kuwa sehemu ya jamii ya waumini? Mpango huu wa usomaji unatoa mfumo wa kibiblia wa jinsi ya kuunganisha uhusiano wako wa kibinafsi na Yesu na utume wa kanisa.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!