Zakaria 6:13
Zakaria 6:13 SRB37
Kweli yeye ndiye atakayelijenga Jumba la Bwana na kujipatia utukufu; atakaa katika kiti chake cha kifalme na kutawala, tena atakuwa mtambikaji katika kiti chake cha kifalme, nalo shauri, hao wawili watakalolipiga, litakuwa la mapatano.