Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 6:17-18

Waroma 6:17-18 SRB37

Lakini Mungu atolewe shukrani, kwa sababu ninyi mliokuwa watumwa wa ukosaji mmegeuzwa mioyo, mkaja kuyatii mafundisho, kama mlivyoyapata! Napo hapo, mlipokombolewa katika utumwa wa ukosaji, mmegeuka kuwa watumwa wa wongofu.

Soma Waroma 6

Video ya Waroma 6:17-18