Waroma 3:10-12
Waroma 3:10-12 SRB37
kama ilivyoandikwa: Hakuna aliye mwongofu hata mmoja. Hakuna aliye mwenye akili, hakuna anayemtafuta Mungu. Wote pamoja wamepotelewa na njia, wote ni waovu. Hakuna anayefanya mema, hakuna hata mmoja.
kama ilivyoandikwa: Hakuna aliye mwongofu hata mmoja. Hakuna aliye mwenye akili, hakuna anayemtafuta Mungu. Wote pamoja wamepotelewa na njia, wote ni waovu. Hakuna anayefanya mema, hakuna hata mmoja.