Waroma 2:3-4
Waroma 2:3-4 SRB37
Lakini wewe ukiumbua wengine walio wenye mambo unayoyafanya, kisha unayafanya yaleyale, unajiwaziaje, ya kwamba wewe utaipona hukumu ya Mungu? Au unaubeza wema na uvumilivu na ungojevu wake mwingi? Hujui, ya kuwa wema wa Mungu unakuonyesha njia ya kujuta?