Waroma 1:20
Waroma 1:20 SRB37
Kwani hivyo, ambavyo macho ya watu hayajaviona, maana nguvu yake ya kale na kale na Kimungu chake, hujulikana, tena huonekana, mtu akivitazama, Yeye alivyovifanya tangu hapo, alipouumba ulimwengu; kwa hiyo hawana la kujikania.*