Mateo 7:15-16
Mateo 7:15-16 SRB37
Jilindeni kwa ajili ya wafumbuaji wa uwongo! Wanawajia wamevaa kama kondoo, lakini mioyoni ni mbwa wa mwitu wenye ukali. Kwa matunda yao mtawatambua. Je? Huchuma zabibu miibani? Au huchuma kuyu mikongeni?
Jilindeni kwa ajili ya wafumbuaji wa uwongo! Wanawajia wamevaa kama kondoo, lakini mioyoni ni mbwa wa mwitu wenye ukali. Kwa matunda yao mtawatambua. Je? Huchuma zabibu miibani? Au huchuma kuyu mikongeni?