Mateo 7:1-2
Mateo 7:1-2 SRB37
Msiumbue mtu, msije mkaumbuliwa! Kwani kama mnavyowaumbua wengine, ndivyo, mtakavyoumbuliwa wenyewe. Kipimo, mnachopimia wengine, ndicho, mtakachopimiwa nanyi.
Msiumbue mtu, msije mkaumbuliwa! Kwani kama mnavyowaumbua wengine, ndivyo, mtakavyoumbuliwa wenyewe. Kipimo, mnachopimia wengine, ndicho, mtakachopimiwa nanyi.