Mateo 4:1-2
Mateo 4:1-2 SRB37
Kisha Yesu akapelekwa na Roho nyikani, ajaribiwe na Msengenyaji. Akafunga siku 40 mchana na usiku, kisha akaona njaa.
Kisha Yesu akapelekwa na Roho nyikani, ajaribiwe na Msengenyaji. Akafunga siku 40 mchana na usiku, kisha akaona njaa.